• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

TUMEVUKA LENGO LA UKUSANYAJI WA MAPATO YA NDANI YA HALMASHAURI; MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MWANGA

Posted on: August 17th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, imeweza kuvuka lengo lake la mwaka katika kukusanya mapato ya ndani ya Halmashauri kwa mwaka 2022/2023, kwa kufanikiwa kukusanya kiasi cha Tsh. Bilioni 2.8 sawa na asilimia 112.

Hayo yamesemwa leo tarehe 17.08.2023 na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, Mhe. Dr. Salehe R. Mkwizu alipokuwa akitoa hotuba yake, kwenye mkutano wa mwaka wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Mwanga.

Katika hotuba yake alisema kwamba, Halmashauri ya Mwanga imeendelea kusimamia na kukusanya vizuri mapato ya Halmashauri na ndio maana mapato yamekusanywa kwa zaidi ya asilimia 100. Nitumie fursa hii kuwapongeza Waheshimia Madiwani wangu, Mkurugenzi na timu ya wataalamu kwa kazi nzuri mliyo ifanya ya kuhakikisha kuwa, mapato yanakusanywa vizuri kwa maslahi mapana ya Halmashauri yetu, amesema Mhe. Mwenyekiti.

Sambamba na hayo, Mhe. Mwenyekiti amesema, kiasi cha Tsh. milioni 870, kiasi ambacho ni sehemu ya mapato ya Halmashauri kilipelekwa kwenye miradi ya maendeleo kwa ajili ya wananchi wa Mwanga.

Aidha, kupitia kikao hicho, Mheshimiwa Mwenyekiti alitumia fursa ya kumshukuru Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kuweza kuleta kiasi kingi cha fedha, kwa ajili ya miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Mwanga. Amesema kwamba, kwa mwaka 2022/2023 pekee, Wilaya ya Mwanga imeweza kupokea kiasi cha Bilioni 12.5, fedha ambazo zimetumika katika kuendeleza miradi ya afya, utawala na elimu.
Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, leo imefanya mkutano mkuu wa mwaka wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri kwa ajili ya kupitia taarifa ya utendaji na uwajibikaji ya Halmashauri kwa mwaka 2022/2023.

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa